Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Sunday, February 28, 2016

TAARIFA MUHIMU: UCHAGUZI WA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA YA WATANZANIA ROMA

TAARIFA MUHIMU KWA WATANZANIA ROMA: UCHAGUZI WA VIONGOZI WAPYA KUFANYIKA TAREHE 5 MACHI 2016



Baada ya Mikutano mitano ya majadiliano, uchunguzi na ukarabati wa Katiba ya Jumuiya ya Watanzania Roma, Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Roma unayofuraha kuwafahamisha kuwa jana tarehe 20 Februari 2016 zoezi zima la urekebishaji wa katiba ulikamilika. Wajumbe kwa pamoja walipanga tarehe 5 Machi 2016, saa kumi na moja jioni ndio kuwa siku ya uchaguzi wa viogozi wapya. Uchaguzi utaf...anyika kwenye Indian Restaurant via Principe Amedeo 70 (termini). Kwa wale wanaotaka kuchukua mafomu ya kujiunga na Jumuiya tafadhali wasilianane na Katibu (Andrew Chole Mhella - kwa kupitia Inbox). Nafasi za kugombea ni za Mwenyekiti, Katibu, Mweka Hazina na wajumbe wawili wa kamati ya utendaji. Kwa yeyote atakayetaka kushiriki kwenye uchaguzi atatakiwa kujaza na kukabidhi fomu kwenye uongozi unaomaliza muda wake.
Kwa habari zaidi endelea kufuatilia page hii ya Jumuiya.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki jumuiya ya Watanzania Roma.
Katibu,
Andrew Chole Mhella.

1 comment: