Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Sunday, March 6, 2016

MATOKEO YA UCHAGUZI WA VIONGOZI WAPYA WA JUMUIYA YA WATANZANIA ROMA


Jana, jumamosi tarehe 05-03-2016, Watanzania waishio mjini Roma waliokutana kwaajiri ya kuchagua viongozi wapya watakao ongoza jumuiya ya Watanzania Roma kwa kipindi cha miaka miwili.
Nafasi zilizokuwa zinapigiwa kura ni za Mwenyekiti, Katibu, Mweka Hazina na Wajumbe wawili wa Kamati ya kuu ya utendaji.

Matokeo ni kama yafuatavyo:
1. Mwenyekiti - Ndugu Andrew Chole Mhella alishinda kwa

    asilimia 90.


2. Katibu - Ndugu Sammy Kibwana alishinda kwa asilimia 55.


3. Mweka Hazina - Bi. Lilian Mashishi Luhende alishinda kwa
    asilimia 80.


4. Wajumbe wawili wa kamati ya Utendaji - Ndugu Kondela
     Buhire na Ndugu Bedui Issa.

Kwa niaba ya viongozi wenzangu tunapenda kuwashukuru wasimamizi wa uchaguzi, ndugu Raymond na ndugu Yohana Shija Masalu kwa kusimamia vizuri zoezi zima la uchaguzi.
Tunapenda kuwafahamisha Watanzania wote wa Roma kuwa Katiba na mafomu ya kujiunga na Jumuiya yapo tayari kwa wale ambao bado hawajapata nafasi ya kuyachukua watuinbox tuweze kuwafahamisha namna ya kuyapata mafomu na pamoja na katiba.

Mungu Ibariki Tanzania Mungu Ibariki Jumuiya ya Watanzania Roma.







Andrew Chole Mhella
Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Roma.

No comments:

Post a Comment