Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Sunday, January 12, 2014

Watanzania waishio Roma wajumuika kwa pamoja kwenye Mkutano wa Msiba

Watanzania mjini Roma, jana jioni walikutuna tena kwenye ukumbi wa restaurant ya Wahindi iliyopo kwenye mtaa wa Principe Amedeo kwa ajiri ya kuendelea kuchangisha hela kwaajiri ya misiba miwili ya Watanzania iliyokea siku chache zilizopia. Kikao kiliudhuliwa na watanzania wengi sana. Jumuiya ya Watanzania Roma ambayo ndio inasimamia mikuano hii ya msiba, imefurahishwa sana kuona watu wameitikia wito na kujumuika kwa wingi kwenye kikao hichi. Kikao kijacho kitakuwa siku ya Jumatano tarehe 15 Januari. Mkutano utafanyikia kwenye  restaurant ya kihindi kuanzia saa kumi jioni! tunazidi kuwaomba wale wote ambao bado kuchanga wafike ili waweze nao kuchanga.

Hapa Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Roma, Ndugu Andrew Chole Mhella akitoa maelezo juu ya maendeleo ya shughuli nzima ya Msiba wa Watanzania Italy.

Watanzania wakimsikiliza mwenyekiti akielezea jambo.

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Roma



Mwenyekiti akisisitiza Jambo



No comments:

Post a Comment