Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Wednesday, May 29, 2013

Sherehe ya Umoja wa Africa yafana Mjini Rome.

                 
 Ile Sherehe ya Kiafrika ambayo kila Mwaka ufanyika mjini Rome na duniani kote kwa ujumla ijulikanayo zaidi kama "African day" mwaka huu ilifanyika tarehe 28 Mei 2013, kwenye ukumbi wa Hotel Cavelieri mjini Rome. Sherehe hii ambayo inawakutanisha Waafrica waishio nchini Italy, uandaliwa na balozi mbalimbali za kiafrika zilizopo nchini Italia. Msafara wa Tanzania uliongozwa na Balozi wa Tanzania nchini Italy, Mh.  James Msekela.

Hapa DEAN of ambassadors in Italy Mh.Mamadou Kamara Dékamo ambaye pia ni Balozi wa Kongo Blazzavile in Italy, akikata keki ya sherehe.
                                      

Hapa Mr. Ayubu akibadilishana mawazo na Maofisa wengine toka nchi mbali mbali za Africa.
                                     

Hapa wakina mama wa Kitanzania wakipata picha ya Pamoja kabla ya kuanza safari ya kwenda kwenye sherehe.

Hapa Wakina mama wa Kitanzania wakishusha baadhi ya vyakula walivyokuwa wameadaa.


Hapa Katibu Andrew Chole Mhella pamoja na Mai waifu wake na Paulina na dada Anna Mrio wakibadilishana mawazo kabla ya kuingia Ukumbini.


Mh. Balozi Msekela akiwa na Mama Balozi kwenye VIP table.

Mheshimiwa Balozi na mama Balozi wakiwa kimya kusikiliza wimbo wa  Taifa wa Umoja wa Africa (AU)

Hapa ni Kwenye Meza ya Chakula cha Kitanzania.

VIP Table




Meza ilipendezeshwa na Bendela za Kitanzani

Mr. na Mrs Msemo wakipata picha ya pamoja.

Mh. Balozi akiwa kwenye meza ya Chakula cha Kitanzania.

Mh. Balozi akijipakulia Keki.


Hapa ulikuwa wakati wa Kutangaza mavazi ya kiafrika..

Dada huyu akipita na Vazi la Kimasai.

Kaka Huyu ni wa kutokea Kenya akipita na moja ya mavazi yavaliwajo Kenya.





No comments:

Post a Comment