Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Wednesday, May 26, 2010

African Day yaadhimishwa mjini Rome


















ROME: Jana jumanne tarehe 25 May 2010, Balozi za nchi za Africa hapa nchini Italia pamoja na raia mbalimbali wa africa na waharikwa tokea nchi zingine nje ya bara la Africa, walijumuika pamoja kuadhimisha siku ya kiafrica mjini Rome kwenye ukumbi uliopo kwenye Via Appia Nuova. Mwaka huu nchi andalizi ni Malawi lakini kutokana na kutokuwa na ubalozi hapa Italy, jukumu la kuandaa hii sherehe lilifanya na Balozi za nchi nyingine za Africa hapa nchini Italia. Itakumbukwa kwamba kila mwaka nchi ambayo ipo kwenye uongozi wa umoja wa Africa (African Union) huwa inasherekea siku ya Kiafrica kwa kufanya sherehe ambazo huwa zinaalika raia wa nchi nyingine kuja kujionea utamaduni wa mwafrica. Utamaduni kwa maana ya mavazi, vyakula, Vinywaji, miziki na vinginevyo. Itakuwa vizuri pia kukumbuka kuwa Tanzania tuliadhimisha siku hii ya kiafrica (African day) miaka mitatu iliyopita kipindi ambacho tulikuwa tukiongoza Umoja wa Africa ambao mwaka Jana ulikuwa chini ya Libya.

4 comments:

  1. Dada Diana unazidi kupendeza

    ReplyDelete
  2. warembo na nyinyi mlipika nini siku hiyoooooooooo nawaaminia dada zangu.

    ReplyDelete
  3. Swali zuri sana!!!!uliza tena!!? Ni mimi Mkereketwa wa Blog hii ya Watanzania Roma.

    ReplyDelete