Pages
welcome to Tanzania
TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.
Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.
Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.
Monday, May 24, 2010
Tangazo Muhimu: Mkutano wa Jumuiya ya Watanzania Rome
Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Rome unayofuraha kuwafahamisha wanajumuiya wake wote kuwa siku ya jumamos tarehe 26 June 2010, kutakuwa na mkutano wa Jumuiya ya Watanzania Rome. Mkutano huu utakuwa na lengo la kujadili maswala mbalimbali yanayohusu jumuiya na kuwakaribisha wanajumuiya wapya. Muda na mahali uongozi utawajulisha siku za hivi karibuni. Uongozi unawaomba mjipange vizuri ili siku ya mkutano wote muweze kuwepo. Hii yote ni kwaajiri ya kuimarisha jumuiya yetu. Kwa wale wote ambao hamjajiandikisha, mnakumbushwa kuwa jumuiya haibagui mtu yoyote kwa namna yeyote ile, kwa hiyo wote mnakaribishwa kuchukua fomu za kujiandikisha. Of course, hii yote ni baada ya kusoma na kuielewa katiba. Kwa maelezo zaidi mnaombwa muwasiliane na mwenyekiti wa Jumuiya Mh. Leonce Uwandameno au Katibu wa Jumuiya Ndg. Andrew Chole Mhella kwa e-mail hii: watanzaniarome@yahoo.it au kwa namba hii ya simu 3479094800. Asanteni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment