Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Wednesday, November 19, 2014

WATANZANIA ITALY WAKUTANA NA MAKAMU WA RAIS MHESHIMIWA MOHAMED GHARIB BILAL MJINI ROMA

 Siku ya jana, tarehe 18 Novemba 2014 kwa Watanzania Italy, imeingia kwenye historia baada ya Watanzania kupata fursa ya kukutana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Mohamed Gharib Bilal . Mkutano  ulidhuliwa na msafara mzito aliokuja nao Makamu wa Rais wakiwemo mawaziri, balozi wa Tanzania nchini Italy, Mh. James Alex Msekela, maofisa wa ubalozi, viongozi wa Jumuiya mbalimbali za Tanzania nchini Italy pamoja na Watanzania kutoka sehemu mbalimbali za Italy. 
 
 
 
Gari lililombeba Makamu wa Rais, Mheshimiwa Mohamed Gharib Bilal. Hapa likiwa limepakiwa katika Hotel ya EDEN. Hotel aliyofikia Mh. Makamu wa Rais.

Mwenyekiti wa Kamati ya Diaspora Italy, Mh. Maulid Kagutta akitoa risala kwa niaba ya Wanadiaspora Italia.

Meza Kuu Wakati wa Mkutano kama inavyoonekana.

Balozi wa Tanzania nchini Italy, Mh. James Alex Msekela akipata picha pamoja na Makamu wa Rais Mh. Mohamed Gharib Bilal pamoja na Mama Bilal.

Watanzania wakisalimiana na Makamu wa Rais.


Picha ya pamoja na Makamu wa Rais.


Kwa yeyote ambaye anapicha zaidi za tukio ili tafadhali anitumie  kwenye e-mail hii watanzaniaroma@yahoo.it ili tuweze kuzitundika! Thanx!!
 

No comments:

Post a Comment