Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Monday, February 10, 2014

Shukrani Toka Kwa Katibu Ndg. Andrew Chole Mhella

Napenda Kuchukua nafasi hii kuwashukuru wajumbe wote walionichagua kuwa katibu wa Kwanza wa Kamati ya Diaspora nchini Italy, siku ya jumamosi, tarehe 8 February 2014 Mjini Napoli! Hatua ya kunichagua imeonyesha ni jinsi gani mmependezeshwa na utendaji wangu wa kazi! Nami nawahikikishieni kuwa kwa kushirikiana na Mh. Mwenyekiti na wajumbe wote, nitajitaidi kadri ya uwezo wangu kuwawakilisha vizuri na pamoja na viongozi wengine, tutayafanyia kazi yale yote mliotuomba tuyafanyie kazi! Mwenyezi Mungu aibariki Tanzania na Wanadiaspora wake!.

Hawa hapa ndio Viongozi wa Kamati ya Kwanza ya Diaspora Italy.
  1. Hon. Nsangu Maulidi Kagutta
  2. Hon. Ricky Bondo ( Mwenyekiti Msaidizi )
  3. Mr. Andrew Chole Mhella ( Secretary )
  4. Lilian Luhende ( Mweka Hazina ) 
Na. Andrew Chole Mhella
Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Roma, Pamoja na Katibu wa Kamati ya Diaspora Italy.



Wanakamati Wote kwa Pamoja
                                     
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Roma wakipata Lunch

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Italy pamoja na Mweka Hazina wa Kamati ya Diaspora Italy Bi. Lilian Luhende



Kushoto ni mjumbe wa Kamati ya Diaspora Italy, ndugu Kondela Buhure pamoja na Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Rome pamoja ambaye pia ni Katobu wa Kamati ya Diaspora Italy, ndugu Andrew Chole Mhella

Pichani: Katibu mpya wa Kamati ya Diaspora Italy ambaye pia ni Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Rome Ndugu Andrew Chole Mhella akizawadiwa cheti cha shukrani  kwenye utendaji kazi na mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania Italy.


Ujumbe tokea Rome







 

No comments:

Post a Comment