Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Tuesday, January 21, 2014

TANGAZO MUHIMU KWA WATANZANIA MJINI ROMA

MKUTANO WA WATANZANIA ROMA

Jumuiya ya Watanzania Roma jumamosi ijayo tarehe 25 January 2014 imeandaa mkutano kwaajiri ya Watanzania wote waishio Roma. Mkutano huu ambao unategemewa utaudhuliwa na Wanajumuiya na wale ambao si wanajumuiya,utafanyika kwenye Restaurant ya Kihindi iliyopo kwenye Mtaa wa Via Principe Amedeo saa kumi jioni. Agenda ya Mkutano huu kwanza kabisa ni kuweza kufahamiana, maana tunaamini kuwa Mjini Roma kuna Watanzania wengi sana ila shida ni kwam...ba baadhi ya Watanzania wamekosa chombo cha kuwaunganisha na Watanzania wengine waishio Roma na sehemu nyingine nchini Italy. Agenda ya pili ambayo ni muhimu zaidi ni kuweza kujadilii kwa pamoja matatizo na kero mbalimbali ambayo Watanzania tunapata hapa nchini Italy na kujaribu kwa pamoja kutafuta njia ya kutatua haya matatizo. Tunaomba tufike kwa wingi maana sisi kama viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Roma tutachukua mawazo yenu na kwenda kudiscuss na viongozi wa Jumuiya zingine hapa hapa Italy na kuweza kupata njia ya kutatua haya matatizo. Mnaombwa mje kwa wingi maana mkutano huu unalengo la kutatua matatizo yetu sisi sote kwa ujumla!

Andrew Chole Mhella
Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Rome

No comments:

Post a Comment