Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Wednesday, July 17, 2013

MWILI WA MAREHEMU TOFIKI SAID MPIRA WAZIKWA SALAMA NCHINI TANZANIA

Mwili wa Marehemu Tofiki Saidi Mpira ambao ulisafirishwa Tokea Rome, Italia, kwenda Dar-es-Salaam,  Tanzania, uliwasili salama jumamosi 13 Julai na kupokelewa na ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu. Marehemu alizikwa siku ya jumatatu ya tarehe 15 Julai.
Kwa niaba ya ndugu wa Marehemu, Mh.Abdulrahamani A.Alli (Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Italy), anapenda kutoa shukrani zake za dhati kwa:
1.   Ubalozi wa Tanzania Italy, kwa ushirikiano mkubwa waliuonyesha.
2.  Viongozi wa jumuiya za Watanzania nchini Italy (Jumuiya ya watanzania Italia pamoja na Jumuiya ya Watanzania Roma).
Pia shukrani za dhati ziende kwa Watanzania wote waliojitokeza kutoa msaada wa aina yoyote ile ambao umesaidia kuwezesha usafirishaji wa mwili wa marehemu kwenda kupumzishwa kwa amani nchiniTanzania.
Shukrani kubwa pia ziende pia kwa viongozi na wanachama wote wa Club ya Wazee wa Magomeni kwa kushiriki kikamilifu katika matayarisho yote ya mapokezi ya mwili pamoja na maziko bila kuwasahau
ndugu Jabir Suleiman Mwalimu, ndugu Daniel Darra na ndugu Abasi.s.cooker.shukran kwa m/kiti na katibu ndugu Madohora wa serikali ya mtaa wa DOSI kata ya magomeni.










No comments:

Post a Comment