Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Wednesday, December 8, 2010

Kumbukumbu za Uhuru wa Tanzania Bara 9/12/1961 - 9/12/2010


Jumuiya ya Watanzania Rome inaungana pamoja na Watanzania popote pale walipo duniani kushurekea miaka 49 ya uhuru wa Tanzania bara. Itakumbukwa kuwa Tanzania Bara au kwa kipindi kile Tanganyika, ilipata uhuru kutoka kwenye utawala wa Kiingereza tarehe 9 Disemba 1961 chini ya usimamizi wa baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Sisi Watanzania tuna kila haki zote za kujivunia uhuru wetu si tu kwa namna tulivyoupata bali kwa namna ambayo tumeutunza na kuuheshimu mpaka siku hii ya kusherekea miaka 49. Watanzania tunatumiwa kama mfano wa kuigwa na nchini nyingi za Africa kutokana na jinsi tunavyoheshimu na kutunza yale mazuri tuliyoachiwa na wazee wetu wa Taifa. Hii yote ni kwa sababu mpaka hii leo kunanchi nyingi tu Africa hazipatani japo ya kuwa na uhuru. Watanzania pia hatuna lazima tujivunie pia matunda ambayo baba wa Taifa alitupandia kabla,wakati, na baada ya kupata uhuru.
Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ibariki Africa.

No comments:

Post a Comment