Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Monday, August 9, 2010

Mwili wa Marehemu Hamisi Abdalla George Kusafirishwa tarehe 10/08 na kuwasili Dar 11/08

Mwili wa marehemu Hamisi Abdalla George (Mmakua) utasafirishwa kesho (10/08) saa tisa kamili mchana (15:00) kutoka Fiumicino airport (Leonardo Da Vinci) na ndege ya Emirates namba EK098, kupitia Dubai na kuwasili Dar-es-Salaam, Mwalimu Julius Nyerere International Airport jumatano 11/08 saa tisa na dakika ishirini mchana (15:20)na ndege hiyo hiyo ya Emirates namba EK725 na kupokelewa na mwanajumuiya wa Jumuiya ya Watanzania Rome aliyepo kwa sasa mjini Dar-es-Salaam, Tanzania ndugu Andrew Kyabashasa pamoja na ndugu wa marehemu. Jumuiya ya Watanzania Rome inapenda kuwashukuru wanajumuiya wa Jumuiya ya Watanzania Roma ukiongozwa na mwenyekiti msaidizi Mh. Erasmus Luhoyo na Katibu ndugu Andrew Chole Mhella, Napoli ukiongozwa na Mh. Mwandai, Genova ukiongozwa na Mh. Ricky Bondo, Modena ukiongozwa na Mh. Mwinyimwaka bila kuwasahau maafisa wa ubalozi wa Watanzania nchini Italy na marafiki mbalimbali wa marehemu, kwa kujitoa kwa hali na mali kufanikisha shughuli hii ya usafirishaji wa mwili wa marehemu hata pale ambapo mabadiliko ya ghafla ya agency yalipojitokeza. Mungu Ibariki Tanzania, mungu bariki jumuiya zetu zilizopo nje ya Tanzania.

Andrew Chole Mhella,

Katibu wa jumuiya ya Watanzania Roma

No comments:

Post a Comment