Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Monday, July 26, 2010

Marehemu Hamisi Abdalla George "Mmakua" Ataagwa Jumamos 31-07-2010 Mjini Rome


Marehemu Mmakuwa Wakati wa Uhai Wake.

Viongozi wa Jumuiya Watanzania mjini Rome pamoja na Viongozi na Watanzania Napoli mara baada ya kutoka kwa agency itakayosafirisha mwili wa marehemu mjini Rome.

Kamati kuu ya maandalizi ya kusafirisha mwili wa Marehemu Hamisi Abdallah George(Mmakua) aliyefariki tarehe 18 julai 2010, saa tatu na dakika ishirini na tano usiku (21:25), ikiongozwa na Jumuiya ya Watanzania Roma kwa ushirikiano na Jumuiya mbalimbali za Watanzania nchini Italy na maofisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Italy, inapenda kuwafahamisha Watanzania wote mliopo nchini Italy kuwa mwili wa marehemu utaagwa siku ya Jumamosi tarehe 31 Julai 2010 saa sita mchana(12:00) kabla ya kwenda kupumzika kwa amani nchini Tanzania. Mwili utaagwa kwenye Istituto Lazzaro Spallanzati, iliyopo nyuma ya Ospitali ya San Camillo, kwenye mtaa wa Via Folchi 6/a, mjini Roma. Watanzania wote mnaombwa mfike ili tumuombee na tumuage marehemu. Kwa wanaotokea Termini mnaweza kuchukua BUS H mpaka kwenye kituo cha San Camillo halafu mnaweza kuchukua bus 774 au 228 na kushuka kituo cha 3.

No comments:

Post a Comment