Picha zimeshatufikia na Shukrani nyingi ziende kwa mwanajumuiya wetu na mdau mkubwa wa blog hii ya Watanzania Hapa Rome, ndugu Andrew Kybashasa.

Habari Ndo Hiyo

Hapa Mwanajumuiya na mdau mkubwa wa Blog hii akiangalia kwa makini Mechi ikiendelea.


Msimamo wa Ligi mpaka baada ya mechi hii kuisha. Mechi zingine zitachezwa kesho jumapili.
No comments:
Post a Comment