Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Sunday, January 31, 2010

Mh. Leonce Uwandameno ndie Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Roma

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Roma, Mh. Leonce Uwandameno

Wakati wa Kujadili Katiba, Tokea kushoto ni Katiba wa Jumuiya ya Watanzania Roma, Mr. A.Mhella, Mh. Andrew Kyabashasa, Mshauri mkuu wa Jumuiya na Mh. Salvator Mbilinyi Ofisa Utawala wa Ubalozi wa Tanzania nchini Italy. Pembeni kulia ni Mr. Awadhi ambaye ni bwana Fedha.

Kuanzia Kushoto ni Mr. Mhella Katibu, Mr.E. Luhoyo Mwenyekiti Msaidizi, Mr. L.Uwandmeno, Mwenyekiti, Mr Awadh,i Mweka Hazina, na Miss D. Olotu, Katibu Msaidizi


Wakati wa Chakula
Kutokea kushoto ni Bi. Riziki, Bi. Zainabu na Bi. Khadija Mjumbe wa Jumuiya,
nyuma yao ni Bwana Fedha Awadhi!

Rome: Jana tarehe 30 Januari, Mjini Rome, Italy, kulikuwa na mkutano mkuu wa Jumuiya ya Watanzania Roma. Mkutano huu ulikuwa na agenda mbili, kwanza: Kupitisha Katiba ya Jumuiya ya Watanzania Roma; pili, kuchagua Viongozi. Mkutano uliudhuliwa na Mh. Salvator Mbilinyi, ofisa Utawala wa Ubalozi wa Tanzania nchini Italy ambaye alimuwakilisha Mh. Ali Abeid Aman Karume, balozi wa Tanzania nchini Italia. Waliochaguliwa kuwa Viongozi ni ndugu Leonce Uwandameno kama mwenyekiti wa Jumuiya, ndugu Erasmus Luhoyo Pindu, kama mwenyekiti Msaidizi, Diana Olotu kama Katibu msaidizi. Katibu na Mweka hazina wamebaki wale wale yaani Katibu Ndugu Andrew Chole Mhella na Mweka Hazina ndugu Awadhi.Wajumbe wakiochaguliwa ni Wawili Ndugu Boniface Mhella na Bi. Khadija Kirro.Mwenyekiti baada ya kuchaguliwa aliwashukuru wanajumuiya kwa kumpatia wadhifa huo na kuhaidi kushirikiana na wanajumuiya wote kudumisha na kuimalisha Jumuiya.

No comments:

Post a Comment