Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Tuesday, August 11, 2009

Sports: Je kwenye ligi ya Mwaka huu (Seria A) Italy tutegemee Jipya?



Kutokana na kuanguka kwa uchumi duniani kote, hata timu za mpira za ulaya zimejikuta zikipata matatizo kwenye ununuzi wa wachezaji na namna ya kumanage clubs hizi. Hapa Italia tumeshuudia wachezaji machachali sana kama vile Zlatan Ibrahimovic na Ricardo Kaka' wakiuzwa kwa bei za juu sana na timu za nje ya Italia, yaani Barcelona na Real Madrid. Kaka' ambaye alikuwa anategemewa kuwa Naodha wa AC Milan baada ya kustaafu Paolo Maldini, alijikuta akilazimika kuuzwa na kununuliwa na Real Madrid kwa Mamilioni ya Euro. Ibrahimovic ambaye kwenye miaka ya hivi karibuni ndiye ameiwezesha Inter kushinda ligi ya hapa (Scudeto) kwa miaka mitatu mfululizo. Kwa Mwaka huu wachezaji wengi wa Italy na makocha wameenda nje ya Italia kujaribu bahati zao maana timu za hapa zimedidimizwa sana na kuanguka kwa uchumi. Swali linakuja basi, wadamu wa Mpira wa hapa Italia mnadhani timu gani mwaka huu zitafanya vizuri kwenye Ligi na timu gani zitaanguka. na je timu hizi zitafanya vizuri kwenye Champions League au timu za England zitaendelea kusumbua maana kiuchumi angalau kidogo inaonekana wanajikongoja hivyo hivyo?

No comments:

Post a Comment