Msanii GALINOMA anaeishi na kufanya kazi nchini Uholanzi pichani akiagana na Mwenyekiti wa jumuiya ya Watanzania Italy leo mchana baada ya kumaliza mapumziko yake ya wiki tatu.GALINOMA katika mapumziko yake pia alimsindikiza msanii wa kizazi kipya (bongo flava) MAVUMBI katika track inayoitwa "UHAKIKA" . MAVUMBI ni msanii anaeishi Italy na kufanya shughuli zake za mziki chini ya SEEWEAR & GFAMILY PRODUCTION. Galinoma anategemea kurudi Italy kwa show ya uzinduzi wa album yake mpya "SAMAHANI" iliyoingia sokoni hivi karibuni.
(picha zaidi tembelea: http://www.tnzncommunity.blogspot.com)
Pages
welcome to Tanzania
TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.
Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.
Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.
No comments:
Post a Comment