Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Showing posts with label Mkutano. Show all posts
Showing posts with label Mkutano. Show all posts

Sunday, July 5, 2009

Uchaguzi wa Jumuiya ya Watanzania Tawi la Roma

Mh. Balozi akiwa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania tawi la Roma wakipiga picha ya Pamoja na Mh. Balozi na mama balozi.


















Mh. Balozi akitoa ushauri wake kuhusu maswala ya Jumuiya.




























Jana tarehe 4 mwezi wa saba mjini Roma, ulifanyika mkutano mkuu uliokuwa na lengo la kufungua Tawi la Jumuiya ya Watanzania Roma. Mkutano huu uliudhuliwa na mgeni rasmi ambaye alikuwa Mh. Balozi A. Karume. Mkutano ulikuwa na agenda zifuatazo: kwanza kabisa kupata ufafanuzi wa Katiba kutoka kwa Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania waishio Italy; kupata ufafanuzi wa ufanyaji kazi wa Jumuiya ya Watanzania Italy, na mwishoni ni kufanya uchaguzi wa Kuwachagua viongozi wa Jumuiya ya Watanzania waishio Roma. Uchaguzi ulienda vizuri na waliochaguliwa kwenye Vyeo hivi ni MWENYEKITI (Bi. Zuhura), KATIBU (Mr. Andrew Mhella) na MWEKA HAZINA(Mr. Awadhi). Uongozi huu ungependa kuwaomba ushirikiano ilikufanikisha malengo yetu kwa pamoja. Hizi ni baadhi ya picha za shughuli hiyo ya jana, zingine zitafuata very soon.