Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Tuesday, September 21, 2010

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Rome unapenda kuwafahamisha wanajumuiya wote kuwa muda si mrefu kamati ya utendaji itakaa ili kuweza kupanga tarehe kamili ya mkutano mkuu wa jumuiya wa kufunga mwaka ambao kulingana na Katiba ni lazima ufanyike kabla mwezi wa Novemba wa kila mwaka kuisha. Kwa wanajumuiya wote ambao wapo nyuma kimchango mnaombwa kujitaidi ili mpaka kufikia tarehe ya mkutano mkuu muwe tayari mmeshakamilisha michango yenu ya mwaka mzima unaokaribia kuisha kikatiba. Jumuiya ya Watanzania Roma, ni jumuiya huru na isiyojiusisha na chama chochote cha siasa hapa Italia au nchini Tanzania. Kuchanganya malengo ya Jumuiya na yale ya kisiasa ni chanzo kikubwa cha kuwachanganya wanajumuiya ambao kila mmoja anamwelekeo wake wa kisiasa lakini ukija kwenye Jumuiya wanamalengo ni yale yale ambao wote tunayafuata kulingana na makubaliano ambayo sote kwa pamoja tulikaa na kukubaliana na si group la watu wachache.

Katibu,

Andrew Chole Mhella

No comments:

Post a Comment