Pages

log with Fire

WELCOME TO TANZANIA
Tanzanian Community in Rome, Via GIUSEPPE DI VITTORIO 9, 00067 MORLUPO, Rome, Italy -- Sasa Mnaweza kuweka Michango yenu ya mwezi kwenye account ya Jumuiya: Banki ya Posta:Associazione dei Tanzaniani a Roma Acc. Number 000007564174 Codice Fiscale: 97600810580 ---

welcome to Tanzania

TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.

Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.

Friday, June 4, 2010

Mkutano wa Jumuiya ya Watanzania Roma

Uongozi wa Jumuiya ya Watanzania Roma unawakaribisha Watanzania wote kwenye mkutano wa jumuiya utakaofanyika siku ya tarehe 26 Juni 2010 kuanzia saa kumi kamili jioni mpaka saa moja kamili usiku maeneo ya Termini kwenye ukumbi uliopo kwenye SOUTH INDIAN RESTAURANT, VIA PRINCIPE AMEDEO namba 70.Wote Mnaombwa mfike kwa wingi ilituweze kufanikisha malengo ya mkutano wetu. Tunaombwa tuzingatie muda ili tuweze kuanza mkutano kwa pamoja muda uliotajwa hapo juu.
Ni muhimu kukumbushana kuwa, Jumuiya ya Watanzania Rome ni jumuiya ambayo si ya KISIASA, Kidini wala kikabila. Ni Jumuiya iliyoanzishwa na WATANZANIA waishio Rome na wachache waishio nje ya Rome, ambao kwa PAMOJA waliamua kutengeneza KATIBA ambayo ndio usukani wa jumuiya. Jumuiya ya Watanzania Roma ni jumuiya iliyoundwa ili kuondoa kiu cha Watanzania wengi ambao walikuwa hawajapata chombo cha kuwasikiliza na zaidi chombo ambacho kiliwapa nafasi ya kuchangia mawazo yao kwenye utengenezaji wa Katiba. Kwa mantiki hiyo basi, Katiba ya jumuiya ya Watanzania Rome imetengezwa na kupigiwa kura na kisha kupitishwa na WATANZANIA siku ya 30 Januari 2010. Ili kuweza kuimarisha umoja wetu mnaombwa mfike kwa wingi maana mawazo yenu ndio yanayofanikisha malengo ya Jumuiya yetu. Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Ubariki umoja wa Jumuiya ya Watanzania Roma.


Hapa ndivyo panavyoonekana kwa nje. Kwa ndani kunakaukumbi.

Picha imepigwa na ndugu George Mayaka.


Katibu,
Andrew Chole Mhella

No comments:

Post a Comment