Pages
welcome to Tanzania
TANZANIAN COMMUNITY IN ROME (TZ-RM,) is a community that unites TANZANIANS living in Rome and those living outside of Rome who have read, understood and accepted the content of its Constitution and hence becoming part of the community's family. Tanzanian Community in Rome is a fruit of the well designed ideas, approved by all community members at the Community's First General Meeting held on the 30th January, 2010. It is a non-political, non-religious, non-ethnical and non-gender based kind of organization. It is a community that democratically, accepts and respects different ideas from all its members without any sort of segregation.
Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.
Tanzanian Community in Rome counts alot on members monthly contributions in order to keep the community alive.But all in all, it appreciates any sort of contribution from anyone.
Saturday, February 6, 2010
Baba Mtakatifu Benedikto XVI amteua Monsinyo Novatus Rugambwa kuwa Balozi na Askofu Mkuu
Baba Mtakatifu Benedikto wa kumi na sita amemteua Monsinyo Novatus Rugambwa tokea Tanzania, kuwa Balozi mpya kwenye visiwa vya Sao Tome na Prince na kumpandisha hadhi kuwa askofu mkuu. Kabla ya uteuzi wake, Monsinyo Rugambwa alikuwa ni katibu mkuu msaidizi wa Baraza la Kipapa la shughuli za kichungaji kwa wahamiaji na wakimbizi.
Askofu mkuu mteule Novatus Rugambwa alizaliwa kunako tarehe 8 oktoba, 1957, Jimbo Katoliki la Bukoba. Alipadirishwa tarehe 6 Julai, 1986, Jimbo Katoliki la Bukoba, Tanzania. Tangu tarehe 1 Julai, 1991 alianza utumishi wake wa kiplomasia, kwa kuiwakilisha Vatican huko Congo, Pakistan, New Zeland na Indonesia.
Tarehe 28 Juni, 2007, Baba Mtakatifu Benedikto wa kumi na sita akamteuwa kuwa Katibu mkuu msaidizi wa Baraza la Kipapa la shughuli za kichungaji kwa wahamiaji na wakimbizi.
Ni mtaalam wa lugha ya Kiswahili, Kiingereza, Kiitalia, Kifaransa, Kihispania, Kijerumani, bila kusahahu lugha yake ya asili ambayo ni Kihaya, maarufu sana kwa Kanda ya Ziwa Victoria.
Jumuiya ya Watanzania Rome inampongeza Monsinyo Rugambwa na kumtakia mafanikio mema.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment